Kiumbe Mautini
Ilikuwa kitendo cha kustumiwa baada ya mkaazi mmoja katika eneo la Chalang’a kuikuta mzoga wa mototo mchaga akiwa ametupwa karibu na timbo.
Kitendo hiki kiliwashangaza wakaazi na kupelekea msako mkali kufanywa katika kitongoji hicho , huku vidole vya lawama vikielekezwa kwa wasichana wanao jihusisha na mapenzi pasi nakutumia kinga yeyote.Hata hivyo kulingana na maojiano na wakazi, wanasema kitendo hicho nicha nne kujirudi katika timbo hilo.
Ilikuwa kitendo cha kustumiwa baada ya mkaazi mmoja katika eneo la Chalang’a kuikuta mzoga wa mototo mchaga akiwa ametupwa karibu na timbo.
Kitendo hiki kiliwashangaza wakaazi na kupelekea msako mkali kufanywa katika kitongoji hicho , huku vidole vya lawama vikielekezwa kwa wasichana wanao jihusisha na mapenzi pasi nakutumia kinga yeyote.Hata hivyo kulingana na maojiano na wakazi, wanasema kitendo hicho nicha nne kujirudi katika timbo hilo.


Comments
Post a Comment