Nani Alaumiwe ?
Wafanyaa  biashara  katika  jimbo  la Mombasa ,  wameandamana  kulalamikia  swala la bajeti  iliotolewa  na serikali kuu, huku kilio kikubwa kikiwa  ni bei ya unga  kupanda  na garama za  maisha  kuongezeka .




kutokana na bajeti  hio, maisha ya mwanainchi wa kawaida imeonekana kugandamizwa  huku sehemu tofauti za inch ikikumbana na  baa la njaa na ukame,  ilio sheheni baadhi ya kaunti  inchini  ikiwemo: Garisa , Turkana , Kajiando  Bamba na Ganze.


Comments

Popular posts from this blog