Njia ya Msalaba
 Huku sherehe za pasaka  zikisherekewa  kwa njia tofauti tofauti ulimwenguni , wakrito  katika madhehebu mbalimbali walijumuika makanisani , kusherekea  kufa na kufufuka kwa yesu.




Kwa  kanisa la kikatholiki  mwelekeo wa ulikuwa wakitofauti, huku wakilazimika kutembea  kwa mwendo mrefu  na msalaba wakiashiria mpigo na mateso ya Bwana wao yesu kristo.

Comments

Popular posts from this blog