Moha kurai kura
Hukuu kura za agosti  nane zikibisha hodi , wawaniaji katika vyma mbalimbali wanaingiwa na tumbo joto, nakulazimika  kujitosa katika kura za mchujo zinazoendelea humu nchini.



Muhamed Ali ,   ambaye ni mwaniaji wa kiti cha eneo bunge la nyali jijini Mombasa , chini ya  chama  cha ODM  ameonekana kujipigia upato mkali katika  maeneo tofauti ya eneo  bunge la nyali ikiwemo ; kwa bulo , ziwalangombe , mbungoni na timboni .


Comments

Popular posts from this blog